NA MWANDISHI WETU
Doto Keto maarufu kama Doto Magari amechukua Fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpa nafasi ya kugombea Ubunge Jimbo la Kinondoni, Dar es Salaam
Magari, amekabidhiwa fomu na Katibu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Amos Richard.
0 Comments