Na Mwandishi Wetu, Muheza, Tanga
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT), Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) amewaita wanawake wote nchini kujitokeza kwa wingi kugombea katika nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji unaotarajiwa kufanyika mwezi Novemba mwaka huu.
Chatanda amesisitiza kuwa, wanawake wanauwezo mkubwa wa kiuongozi na wanastahili kuungwa mkono na kuaminiwa na jamii nzima kwa ujumla.


0 Comments