BRELA YAZINDUA BARAZA LA WAFANYAKAZI


Bw Godfrey Nyaisa, Afisa Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi kutoka Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) akizungumza  na wajumbe wa Baraza kwenye ufunguzi wa Baraza la Wafanyakazi na kikao cha  kwanza cha Baraza hilo kwa mwaka wa fedha 2024/2025 mkoani Morogoro.

Bi Christina Matage Afisa Kazi kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi,  Vijana, Ajira na watu wenye Ulemavu akitoa mafunzo juu ya namna ya uendeshaji  wa mabaraza ya wafanyakazi kwa  wajumbe wapya wa baraza la wafanyakazi kutoka Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) mkoani Morogoro.


Post a Comment

0 Comments