MPANDILA AJITOSA UBUNGE JIMBO LA MAKETE, NJONBE


Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Makete (2022-2027), Mjumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya ya Makete (2022-2027), Mjumbe wa Mkutano Mkuu CCM Taifa (2022-2027), Mjumbe wa Bodi ya Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT) (2023  Mfanyabiashara K,koo,  Award Mpandila ( kushoto), akichukua fomu kuwania  mchakato wa Ubunge wa Jimbo la Makete Mkoani Njombe.

Post a Comment

0 Comments