WANACHAMA NLD WAJITOSA UBUNGE MAJIMBO 23, wengine wahimizwa kujitokeza zaidi kushiriki mchakato huo




Orodha ya Majimbo Ambayo Wanachama wa Chama cha NLD Wameshachukua Fomu za Kuomba Kuteuliwa Kugombea Ubunge

Majimbo Ambayo Wanachama wa NLD Wameshachukua Fomu za Kugombea Ubunge (Hadi jana Tarehe 19 Agosti 2025)

NLD inawapongeza wanachama wake waliojitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi ya Ubunge katika uchaguzi ujao. Hadi sasa, fomu zimechukuliwa katika majimbo yafuatayo.

1. Mvumi


2. Segerea


3. Iramba Magharibi


4. Dodoma Mjini


5. Babati Mjini


6. Bunda Mjini


7. Sumve


8. Kwimba


9. Kondoa Mjini


10. Singida Mjini


11. Arusha Mjini


12. Ukerewe


13. Nyamagana


14. Buchosa


15. Sengerema


16. Ilongero


17. Korogwe Mjini


18. Ukonga


19. Arumeru Magharibi


20. Arumeru Mashariki


21. Kawe


22. Kinondoni


23. Kibaha

Chama cha NLD kinaelekea kuwahimiza wanachama wengine na Watanzania kwa ujumla kuendelea kujitokeza kushiriki mchakato huu muhimu wa kidemokrasia nchini.

Imetolewa na
Mkurugenzi wa Mipango na Uchaguzi Taifa, NLD
Ndugu Don Waziri Mnyamani
Temeke, Tandika, Mtaa Lituh
Dar es Salaam, Tanzania

Post a Comment

0 Comments